Friday, July 29, 2011

Ludacris azungumza na vyombo vya habari,atinga mjengoni clouds fm kama kawa.

Mtangazaji mahiri wa Clouds FM,Ruben Ndege a.k.a Ncha Kali akifanya mahojiano mafupi na Mwanamuziki Ludacris mapema leo.
Ludacris akiacha chata lake

Mwanamuziki Ludacris akiwa na baadhi ya wafanyakazi wa Clouds Media Group leo mchana,kwenye ofisi za kampuni hiyo,Mikocheni jijini Dar.

Mkurugenzi wa Utafiti wa Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akifafanua jambo kwenye mkutano wa Waandishi wa habari mapema leo asubuhi kwenye hoteli ya Kempisnk kuhusiana na onyesho la kesho litakalofanyika kwenye viwanja vya Lidaz Club Kinondoni jijini Dar,litakalomuhusisha Mwanamuziki Ludacris (wa pili kutoka kulia).Kushoto ni Caroline Ndungu, Mkurugenzi wa Masoko wa Serengeti Breweriers anayemaliza muda wake na Meneja wa bia ya Serengeti Premium Lager Allan Chonjo.

No comments: