Mwandishi wa TBC 1 akiwa amejificha akiogopa kupigwa Risasi wakati wa machafuko hayo
Mtu mmoja ambae Jina lake halija fahamika mapema akiwa amepigwa Risasi na Polisi na Kufariki Papo hapo mapema leo
Polisi wakijaribu Kuvurumisha Risasi Kuwapiga wananchi Huko Songea Leo
Damu Nyingi ikiwa inamwagika Baada ya Polisi kusababisha kifo cha mwananchi kwa kumpiga Risasi Mgongoni
Picha zote kwa hisani ya Libeneke kutoka Songea
No comments:
Post a Comment