Monday, October 17, 2011

Rais Kikwete afungua Kongamano la Uwekezaji katika Ukanda wa Ziwa Tanganyika Mpanda

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri mkuu Mizengo Pinda wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wawekezaji na mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi hapa nchini muda mfupi baada ya Rais Kikwete kufungua kongamano la uwekezaji katika ukanda wa ziwa Tanganyika huko Mpanda mkoani Rukwa lao mchana.
(picha na Freddy Maro).

No comments: