Monday, October 22, 2012

UTARATIBU WA SHEREHE ZA EID EL ADH-HA LEICESTER UK


Assalaamu Alaykum Wapendwa katika Imani,

Kama mjuavyo, Inshaallah Eid El Adh-ha itasherehekewa Siku ya IJUMAA 26-10-2012
Ufuatao ni utaratibu wa Sherehe zetu hapa katika mji wa Leicester, Uingereza:

Inshaallah Sala ya Eid itasaliwa katika ukumbi wa Taylor Road School na kufuatiwa na Kifungua kinywa kwa utaratibu huu:
TAKBEER: Zitaanza Saa Mbili na Nusu asubuhi (8.30am)
SALA YA EID: Itasaliwa Saa Tatu Kamili asubuhi (9.00am)
PAHALA: Taylor Road School, Taylor Road, Leicester, LE1 2JP
KIFUNGUA KINYWA: Baada ya Sala Waumini watjumuika kama kawaida yetu kupata kifungua kinywa

PAHALA: 1st Floor, Kocha House, Malabar Road, Leicester, LE1 2PD

AN NOOR COMMUNITY LEICESTER
yakutakieni nyote
 MUBAARAK!!!

Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi:
Mohammed Omar 07903978481, Abdul Dau 07792104495, Khamis Sahal 07982124581, Omar Hussein 07565512058

No comments: