Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Lazaro Nyalandu (Mb) akimweleza jambo Naibu Waziri wa Utamaduni China Mhe. Madam Zhao Shaohua ( kulia) mara baada ya kuwasiri Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Mhe. Shaohua amewasiri leo kwa ajiri ya ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo kesho anatarajia kuelekea Dodoma kwa ajiri ya kumtembelea Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda na kufanya mazungumzo rasmi na Waziri wa Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi (Mb.). Pembeni ya Mhe Nyalandu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bw.Sethi Kamuhanda.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Lazaro Nyalandu (Mb) akimkaribisha Naibu Waziri wa Utamaduni China Mhe. Madam Zhao Shaohua mara baada ya kuwasiri Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Mhe. Shaohua amewasiri leo kwa ajiri ya ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo kesho anatarajia kuelekea Dodoma kwa ajiri ya kumtembelea Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda na kufanya mazungumzo rasmi na Waziri wa Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi (Mb.).
Habari kwa Hisani ya Michuzi Blog
Habari kwa Hisani ya Michuzi Blog


No comments:
Post a Comment