Meneja uzalishaji wa Kapunga Rice Project Bwana SERGEI BEKKER akielezea ramani ya Mashamba ya Kapunga.
Mashine ambayo hupanga Madaraja matatu tofauti, Daraja I, II na III
Eneo la wazi ambalo halijalimwa na Mwekezaji
Mashine za kuhifanzia Mpunga ambazo zimetoka Ujerumani lakini zimekuwa zikifanya chini ya kiwango ambapo kilitegemewa licha ya kuwa ni msimu wa mavuno ya zao la Mpunga.
Tanki za kuhifadhia Mpunga
Uwanja wa Ndege uliojengwa na Muwekezaji wa Kapunga, ambao unalalamikiwa na wananchi kijiji cha Mapogoro Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeyakwa madai kuwa umejengwa pasipo ridhaa ya wananchi.
Mwenyekiti wa kijiji hicho cha Mapogoro Kapunga Bwana Ramadhani Nyoni akiwa na mjumbe wa kijiji bwana Bryton Ngela wakionesha ambapo Shule ilivyunjwa na Mwekezaji huyo.
Nyumba ya Walimu iliyojengwa na kwa sasa wameshindwa kuendelea kutokana na sakata hilo.
Masalia ya majengo yaliyobomolewa
Fomula inayotumika kutambua sababu zinazosababisha Nchi nyingi za Kiafrika zisiendelee ambapo kuna Uvivu, Wizi, nidhamu ya kazi, Miundombinu mibovu, Utawala bora, Pia ametoa ufafanuzi kuwa ni bora kutumia ndege ili kuepuka wizi katika zoezi la upandaji wa mbegu na hupunguza gharama badala ya kutumia watu 150 kwa shughuli hizo basi hutumia watu 10.
ZIADA:- Mgogoro huu umechangia kwa kiasi kikubwa Pande zote mbili kuyumba kiuchumi na hivyo serikali inapaswa kutatua tatizo hili kani pande zote mbili zinaitupia lawama serikali.
ZIADA:- Mgogoro huu umechangia kwa kiasi kikubwa Pande zote mbili kuyumba kiuchumi na hivyo serikali inapaswa kutatua tatizo hili kani pande zote mbili zinaitupia lawama serikali.
No comments:
Post a Comment