Moto ulianza pale majira ya asubuhi Saa 3:50, lakini mpaka kufikia saa 5:15 Zimamoto walikuwa bado hawajafika na walipofika wakaaza kuzima moto ulikoanzia badala ya kule uelekeapo ili kunusuru mali nyingine zisiteketee.
Na baadhi ya wafanyabiashara wamefanikiwa kuokoa bidhaa zao lakn waliowengi wamepata hasarA
Masalia ya Bati zilizoteketezwa na Moto katika Soko la Sido.
Gari la zima ambapo wananchi wakikinga maji kwa lengo la kusaidia kuzima maji vibanda vyao.
Askari wa Jeshi la Kujenga Taifa JKT akiwa amemkamata mualifu ambaye alikuwa akijaribu kuiba bidhaa sokoni Hapo.
Askari wa JKT wakimuadhibu mualifu au Kibaka
Askari wa JKT na Polisi wakiwa wameweka chini ya Ulinzi kibaka.
Wezi na vibaka wafurahia tukio wakiwemo akina mama hili kwani imekuwa fursa kwao kutokana na kujinufaisha kwa kuiba ikumbukwe katika ajali iliyopita ya Soko la Mwanjelwa watu weki walipata mitaji kutokana na kuiba mali.
Moto ukiendelea kuchoma vibanda na makontena ya Biashara sokoni hapo.
| Soko la mwanjelwa eneo la sido mbeya lawaka moto chanzo mapaka sasa hakijajulikana |
| Moto mkubwa ukiendelea kuwaka |
| Baadhi ya mabanda sokono hapo tayari yameteketea kabisa na moto |
| Kama kawaida kikosi cha zimamoto mbeya kimeendelea na maigizo yake ya kuja kwenye tukio na gari bovu hapa wanaonekana askari wa kikosi hicho wakibishana huku moto ukiendelea |
| Kufa kufaana kibaka tayari ameshaiba huyooo anatimka |
| Dada nae hayuko nyuma katika wizi keshachukua kapeti |
| Umati wa watu ukiwa unaangalia soko linavyoteketea |
| Mama huyu akilia kwa uchungu akiangalia duka lake likiteketea kwa moto |
| Mama akiwa analia |
| Hii ni hatari |

No comments:
Post a Comment