Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan  akimuliza Jambo Ofisa wa Huduma za Forodha Mamlaka ya Mapato Tanzania   Bw Abduliah Ali alipotembelea Kitengo cha Kima cha Huduma za Forodha  Kulia Meneja  Huduma Bw Victor Msuya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan  akipewa Maelezo na Meneja Port Operostons Bw John Micah  kwenye Hala la  Kuekea Mizigo inayokwenda Zanzibar Bandari Mjini Dar es Salaam Wakati wa  Ziara ya  kutembelea  Mamlaka ya Mapato Tanzania[TRA]
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan  akipata Maelezo ya Kuskani Makontena kwa Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya  Mapato Tanzania {TRA}Bw Harry Kitillya wakati wa Ziara ya Waziri  Bandarini Kulia Mkurugenzi wa Idara ya Muungano Baraka Baraka na  Mukurugenzi Mipango Ofisi ya Makamu waRais Bi Joan Mbuya.Picha na Ali  Meja
No comments:
Post a Comment