Monday, May 28, 2012

Sentensi 6 za Zitto Kabwe juu ya vurugu za Zanzibar





 1.Vurugu za Zanzibar ni ‘unwanted distractions’ katika mchakato wa kuandika katiba mpya.

2. Hakuna namna vitendo hivyo vinaweza kuhalalishwa na kutetewa lakini ni matokeo ya muda mrefu ya ‘superficial attempts at dealing against group  with ulterior motives.

3. Rais Ali MohamedShein aunde kikosi kazi maalum kwa ajili ya kudhibiti vurugu hizo,na kuanza mzungumzo na pande zote.Hiki sio kitendo cha kudharau kabisa.

4. Muungano wetu ni sacred na tumetoka mbali kushindwa sasa kuulinda, ‘not when we are so close at having an everlasting formula’.

5. Waliochoma nyumba za ibada wasakwe na kufikishwa mbele ya sheria mara moja. Tusiruhusu hata kidogo wapuuzi wachache kutuingiza katika vurugu za kidini ili kufikia malengo yao ya kisiasa.

6. Zanzibar Political leaders and public opinion makers must engage the Zanzibaris into a serious and objective dialogue about the future of Zanzibar within or outside the Union.

No comments: