Sunday, July 31, 2011

WANAFUNZI WA SKULI YA SEKONDARI YA VIKOKOTONI, Zenji, WAKIUKARIBISHA MWEZI WA RAMADHANI

SHEKH Mselemu Ali akitowa mhadhara kwa Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Vikokotoni kwa ajili ya kutowa mafunzo ya Mfungo wa Ramadhani, unaotarajiwa kuaza mwazoni mwa mwezi wa Nane.
WANAFUNZI wa Skuli ya Vikokotoni wakimsikiliza Shekh. Mselem Ali akitowa mawaidha ya dini ya Kiislam kwa Wanafunzi hao ikiwa ni moja ya Maandalizi ya kuukaribisha mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kutowa mafunzo ya dini, mdahalo huo umeandaliwa na Uongozi wa skuli hiyo uliofanyika katika viwanja vyao.
Sehemu ya wanafunzi wa kike shulen hapo
Habari kwa hisani ya Issa Michuzi 

No comments: