Monday, August 8, 2011

Futari bei juu marikiti Zanzibar

WANANCHI wakipata mahitaji ya futari katika soko la Marikiti Darajani ndizi moja ya mkono wa tembo Sokoni hapo inauzwa shillingi 4000/=.
Matunda nayo hayakamatiki kwa bei


WAKINAMAMA Wafanyabiashara katika soko la Mwanakwerekwe wakipanga viazi Sokoni hapo fungu moja shillingi 2000/=Pi cha na Othman Mapara
Picha Kwa hisani ya Issa Michuzi

No comments: