Friday, August 26, 2011

Hongera Prince Raphael V. Luvenna




Mr and Mrs Mtwangamatanana Victor Luvenna Pamoja na ndugu jamaa na Marafiki wanapenda kumpongeza kijana wao Raphael V. Luvenna Kwa kutimiza miaka yake Kadhaa siku ya leo, Kwa pamoja tunamtakia maisha mema ya Afya njema


2 comments:

Anonymous said...

Hongera sana Prince. Love you much Auntie

Anonymous said...

Hongera kwa mtoto, na kwa wazazi pia