Baadhi ya Watuhumiwa wa kudurufu kazi feki za Wasanii wa Muziki hapa nchini wakiwa chini ya ulinzi Kwenye kituo kikuu cha Polisi mjini Dodoma. Kutoka kulia ni Godlisten, katikati ni Ernest na Kushoto ni Steven wote wafanyabiashara mjini Dodoma.
Baadhi ya mitambo ya kudurufu kazi feki za wasanii wa muziki hapa nchini kama zilivyonaswa na camera yetu zikiwa nchini ya ulinzi kwenye Kituo kikuu cha Polisi Mjini Dodoma hiyo ni kutokana na jitihada za zinazofanywa na kampuni ya Msama Auction Mart,kupitia Mkurugenzi wake Alex Msama.
Picha kwa Hisani ya Jiachie Blog
No comments:
Post a Comment