Thursday, August 18, 2011

Rais Jakaya Kikwete Ashiriki Mazishi Ya Balozi George Nhigula Jijini Dar Es Salaam



Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Balozi George Nhigula wakati wa mazishi yake yaliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana jioni.Marehemu Balozi George Nhigula alifariki tarehe 13 mwezi huu katika hospitali ya Magomeni mikumi alipokuwa anapatiwa matibabu.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la marehemu Balozi George Nhigula wakati wa mazishi ya Balozi huyo yaliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni.
Picha na Freddy Maro



No comments: