Wednesday, September 21, 2011

EXTRA BONGO YAFUNIKA JIJINI MWANZA


Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky akitoa shoo wakati wa tamasha la kukaribisha maadhimisho ya mika 50 ya Uhuru Nchini yaliyofanyika Viwanja vya Furahisha Jijini Mwanza kupitia kinywaji cha Bia ya Kilimanjaro
Banza Stone akiimba wakati wa tamasha hilo
Wacheza shoo wakicheza wakati wa tamasha hilo
Mcheza shoo, Mwantum akionyesha umahili wake

Mwimbaji wa Bendi hiyo,Bob Kissa akicheza.Picha Na Machellah Blogu

No comments: