Saturday, September 10, 2011

mfuasi wa CCM amwagiwa tindikali IGUNGA

MFUASI wa CCM, Mussa Tesha (24) akiwa katika hospitali ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, leo. Tesha ameungua usoni na sehemu kadhaa mwilini baada ya kumwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo na watu wanaodaiwa kuwa ni wafausi wa CHADEMA, ambapo inaelezwa kuwa walimwagia tindikali hiyo alipokuwa katika harakati za kubandika mabango ya mgombea wa Ubunge jimbo lgunga kwa tiketi ya CCM katika mitaa ya jimbo hilo. Tesha anatarajiwa kuhamishiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo kwa gharama za CCM.Anayemtazama ni Daktari wa hospitali hiyo, Selemani Masinga.

No comments: