Thursday, September 1, 2011

Nape nnauye adai gazeti la mwanahalisi linamchafua.!

Katibu wa Halimashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akionesha gazeti lililoandika habari alizosema ni za kupikwa zikimuhusiha yeye na kuwania Urais kwa mwaka 2015, wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana

No comments: