Wednesday, September 21, 2011

Nuuz....KATIBU MWENEZI WA CCM KITANZINI MBARONI ,CHADEMA WAFIKA KUVURUGA MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM


katibu mwenezi wa Chadema kata ya Kitanzini Miyomboni Lucy Ilomo (mwenye gauni ya kijani ) akitoa kituo cha polisi baada ya kuachiwa kwa dhamana leo




Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Chadema Chiku Abwao akitoka katika jukwaa la kampeni za CCM ambako alikwenda kutaka kuvuruga mkutano huo hadi katibu wake atolewe polisi kwa madai kuwa kukamatwa kwake ni njama za CCM


hapa Chiku akivutana na makada wa CCM katika jukwaa la kampeni za udiwani za CCM ,ambako alikwenda kutaka katibu mwenezi wake kata ya Kitanzini Lucy Ilomo kuachiwa huru kwa tuhuma za kuchana mabango ya mgombea wa CCM




Makada wa CCM wakijaribu kumwondoa Chiku Abwao wa Chadema katika mkutano wa CCM



Chiku Abwao kushoto akiwa na Lucy Ilomo baada ya kuachiwa kwa dhamana leo

Picha na Francis Godwin 








No comments: