Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi wa Precision Air Bw. Michael Shirima (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi wa shillingi milioni 10 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kama rambi rambi kwa familia za wafiwa na waliookolewa katika ajali ya meli iliyotokea Zanzibar mapema mwezi huu.
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi wa Precision Air Bw. Michael Shirima akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alipotembelea ofisi za Makamu wa Rais huyo asubuhi ya leo (jana).
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Iddi (watatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka Precision Air. Kutoka kushoto ni Msimamizi wa Mauzo Zanzibar Laurian Joseph, Afisa Mawasiliano Amani Nkurlu, Meneja Mauzo wa Zanzibar na Dsm Nancy Bagaka, Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi Michael Shirima, Mkurugenzi wa Biashara Phil Mwakitawa na Meneja wa Uwanja wa Ndege kwa Precision Air Michael Montana.
No comments:
Post a Comment