Wednesday, October 19, 2011

maelfu ya watu washiriki mazishi ya marehemu maulid hamad mauli leo

Maelfu ya wananchi washiriki katika kusindikiza jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Hamad Maulid,(mwanahabari) na kuelekea kuzikwa Bumbwini Wilaya kaskazini B Unguja jana,(19/10/2011).
Waumini wa Dini ya kiislamu wakimsomea hitma marehemu Maulid Hamad Maulid, katika msikiti wa Mombsa kwa mchina,ambae alifariki juzi katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Mjini Unguja,(19/10/2011).
Picha na Ramadhan Othman

No comments: