Thursday, October 20, 2011

Simba yaendeleza ubabe katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara: Yaibamiza Ruvu Shooting bao 2-0

Kikosi cha Simba.
Kikosi cha Ruvu shooting.
Wachezaji wakisalimiana kabla ya mchezo.
Juma Jabu akikontroo mpira ili amtoke beki wa timu ya Ruvu Shooting katika mchezo uliopigwa jioni ya leo katika uwanja wa Azam jijini Dar.Simba imeshinda bao 2-0 na kujikita kileleni moja kwa moja.
Moja ya hekaheka zilizotokea katika lango la Ruvu Shooting
Mshambuliaji wa pembeni wa timu ya Simba, Ulimboka Mwakingwe (shoto) akichuana na beki wa Ruvu Shooting, Paulo Ngalema katika mchezo uliochezwa jioni ya leo kwenye uwanja wa Azam huko Chamazi,jijini Dar.Simba imeshinda bao 2-0
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi akichuana na beki wa Ruvu Shooting, Idd Nyambiso.
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi chini wakati wa hekaheka za kuwania mpira na George Michael wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika leo kwenye uwanja wa Azam,jijini Dar.
Emmanuel Okwi akichuana na mabeki wa Ruvu Shooting.
Boban akimiliki mpira.
Mashabiki wa simba wakichagiza ushindi leo katika dimba la Chamazi.
Vuvuzela hazikuwa nyuma.
Picha na Francis Dande.

No comments: