Nyomi ikimsikiliza Mzee Mkapa leo
Mkapa akimnadi mgombea wa CCM Dk Dalaly Kafumu katika mkutano huo
Nani kasema kuna uhasama wa kiitikadi Tanzania? Hapa kijana wa CHADEMA akimsaidia Kijana wa CCM kufunga bendera kwenye kijiti mjini Igunga kudhihirisha kwamba wote ni wamoja kitaifa japo kivyama ni tofauti
No comments:
Post a Comment