Monday, October 17, 2011

YANGA YA UGHAIBUNI YAIBANJUA SIMBA 6-4 MECHI YACHEZWA EXTRA TIME BAADA YA DKK 90 KUTOKA SARE YA 4-4

KIKOSI CHA YANGA UGHAIBUNI
KIKOSI CHA SIMBA UGHAIBUNI
Mgeni wa heshima kwenye mpambano huo wa Simba na Yanga,Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico,Mama Munanka akikagua kikosi cha Simba.
Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico,Mama Munanka akikagua kikosi cha Yanga.
Mashabiki wa Yanga
Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Marekani akikabidhi Kombe kwa Kepteni wa Yanga Adam Jongo
Wachezaji na Mashabiki wa Yanga wakishangilia Kombe la Uhuru
Timu ya Yanga ikipiga picha ya pamoja na mashabiki wakiwa na Kombe la Uhuru
Picha zote na Vijimambo Blog

No comments: