

"Kwa
niaba ya watu wangu wa Misungwi - Tunawashukuru sana Airtel tukiwasihi
ushirikiano usiishie hapa, uendelee kwani bado kuna mahitaji mengi na
makampuni mengine yaige mfano huu"

wa Wilaya ya Misungwi Bi. Mariam Lugaila (C) akimkabidhi baiskeli
Mganga mfawidhi wa Kituo cha Afya Kijima, Dr. Marwa Mwita huku
akishuhudiwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Taknolojia,
Mbunge wa wilaya ya Misungwi Mh. Charles Kitwanga almaarufu 'Mawe
Matatu'.


wa Wilaya ya Misungwi Bi. Mariam Lugaila (C) akimkabidhi baiskeli
Mganga mfawidhi wa Kituo cha Afya Mwagiligi kilichopo wilayani humo huku
akishuhudiwa na Meneja Biashara wa Kanda ya Ziwa Kampuni ya Airtel bw.
Ally Maswanya (R).

No comments:
Post a Comment