MAJONZI na vilio leo vimetawala katika nyumba aliyokuwa anaishi mwanzilishi wa kundi la maigizo la Kaole, Fundi Said ‘Mzee Kipara’ aliyefariki dunia leo asubuhi maeneo ya Kigogo jijini Dar baada ya kusumbuliwa na maradhi ya miguu kwa muda mrefu.
Habari kwa Hisani ya GPL
Habari kwa Hisani ya GPL
No comments:
Post a Comment