Friday, February 17, 2012

BASI LA ABOOD LAPATA AJALI ASUBUHI YA LEO MAENEO YA MBEZI

Basi la kampuni ya Abood likiwa limepinduka maeneo ya Mbezi wakati likitoka Mkoani Morogoro kuelekea Dar es salaam asubuhi ya leo.

Chanzo cha ajali hii hakikuweza kufahamika mapema. Kwa mujibu wa walioshuhudia ajali hiyo wameeleza kuwa gari hilo lilikuwa likijaribu kulipita gari lililokuwa mbele yake.
Picha na Lukaza

No comments: