Thursday, February 16, 2012

Kaimu Balozi kwenye Sherehe ya Friends of Tanzania

Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani Bibi Lilly Munanka akizungumza
kwenye ghafla ijulikanayo kama Winter Party inayoandaliwa kila mwaka na
mojawapo ya Taasisi zinayojishughulisha na Maendeleo ya Jamii Tanzania
(Friends of Tanzania) iliyofanyika tarehe 4.02.2012 huko Virginia.
Baadhi ya wanachama wa Taasisi ya Friends of Tanzania na wageni waalikwa
wakifuatilia hotuba ya Kaimu Balozi kwenye hafla hiyo iliyofanyika
Virginia tarehe 4.02.2012
Kaimu Balozi akimshukuru Mwenyekiti wa Friends of Tanzania Bibi Patricia
Kelly (kushoto) kwa kuandaa hafla hiyo na kwa kazi ya kujitolea kwa ajili
ya kuendeleza jamii mbalimbali nchini Tanzania.
(Picha kwa hisani ya Mindi Kasiga)

No comments: