![]() |
| Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akisisitiza jambo kwenye kikao hicho. Kushoto ni Rais wa Zanzibar Dk. Sheni na Makamu Mkt (Zanzibar) Amani Karume |
![]() |
| Kikwete, Mukama na Msekwa wakifurahia jambo kikaoni |
![]() |
| Wajumbe wa NEC kutoka Tanzania Bara wakiunga mkono marekebisho ya Katiba ya CCM yaliyopitishwa na NEC |
![]() |
| Rais Kikwete, Mukama na Msekwa wakiunga mkono marekebisho ya Katiba ya CCM |
![]() |
| Wajumbe wa Zanzibar wakiunga mkono marekebisho ya Katiba mpya ya CCM |
![]() |
| Rais Kikwete akijenga hoja katika mkutano huo |
![]() |
| Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Ali Hassan Mwinyi akifurahia jambo wakati wa kikao cha NEC mjini Dodoma juzi |
![]() |
| Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodo,ma kuhusu yaliyojiri kwenye kikao hicho (Picha zote na Bashir Nkoromo). |









No comments:
Post a Comment