Friday, February 3, 2012

Rais Jakaya Kikwete katika siku ya Sheria

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana katika viwanja vya Mahakama kuu jijini Dar es salaam leo January 3, 2012 na kupokewa na Jaji Mkuu Mh. Mohamed Chande Othman nyuma yake, Spika Anne Makinda (anayepeana nae mikono, na viongozi wa juu wa Mahakama kabla ya kuhutubia katika Siku ya Sheria Tanzania jijini Dar es salaam leo January 3, 2012
PICHA NA IKULU

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiuhtubia katika Siku ya Sheria Tanzania jijini Dar es salaam leo January 3, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia kalenda aliyozawadiwa na Jaji Mkuu Mh. Mohamed Chande Othman baada ya kuhutubia katika Siku ya Sheria Tanzania jijini Dar es salaam leo January 3, 2012

No comments: