Monday, May 14, 2012

TAMKO LA KUKANUSHA MH LETICIA NYERERE KUKAMATWA



Mh. Leticia Nyerere (Mbuge Viti Maalum)
CHADEMA.
Kulikua na Habari zilizoenea kwenye mtandao wa Jamii Forum kwamba Mh. Mbuge Leticia Nyerere amekamatwa na Uhamiaji kwa kukiuka masharti ya Green Card, Vijimambo ilimtafuta Mh. Mbuge na kumuuliza kulikoni.na haya ndio aliyosema:


NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUKANUSHA VIKALI TAARIFA ILIYOSAMBAZWA KUPITIA JAMII FORUMS KWAMBA MH LETICIA NYERERE AMEKAMATWA. KWA KWELI HIZI TAARIFA SI ZA KWELI. NI ZA UZUSHI NA KUTAKA KUCHAFUANA. TUNALAANI VIKALI KWA MTU YEYOTE ALIYEHUSIKA NA KUENEZA TAARIFA HIZI ZA KIZUSHI ZISIZOKUWA NA MSINGI WOWOTE.




No comments: