Tuesday, August 23, 2011

Rais Jakaya Kikwete Akiteta na Walemavu..

















Rais 
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia Bwana Khamis Abdallah na
mwenzake Mohamed Othman Omari ambao ni walemavu wa viungo muda mfupi
baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Pemba kwa ziara ya kikazi
ya siku mbili.
Rais 
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na walemavu Mohamed Othman Omari na
Khamis Said Abdallah muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa
ndege wa Pemba jana jioni.

Picha na Freddy Maro-IKULU



No comments: