Saturday, September 17, 2011

Kuapishwa Kwa Wakuu Wapya Wa Mikoa



Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akiteta na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika sherehe za kuwaapisha wakuu wa mikoa zilizofanyika ikulu jijini Dar es salaam Septemba 16,2011.


Rais JakayaKikwete akiteta na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika sherehe za kuwaapisha wakuu wa mikoa zilizofanyika ikulu Jijini Dar es salaam Septemba 16,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments: