Monday, September 19, 2011

Ndivyo Sivyo Ya igunga,Magari Ya CCM Yapigwa Mawe

Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CC (NEC)ambaye pia ni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde akimuonyesha afisa wa polisi kioo cha nyuma cha gari aina ya Toyota Prado T 888 ALL lililorushiwa mawe jana katika kijiji cha Nkinga kati na vijana wanaodhaniwa ni wafuasi wa Chadema.
Picha na Daniel Mjema


No comments: