AJALI YATOKEA SINGIDA
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5eWY_gcyoIGZvvxOP5kbtPFvNJlgNvBqnh-J4csz8TisK4NL798x08us9hqvhO-9ddB32KxlvdIynLh4E6QDAHqlUPO58wGOF3buVC7Rr-BNZOcRpC-hRg3UJDOV8tX9xv1Szb36-Mpg/s640/Ajali+ya+malori+%25281%2529.JPG)
:
Askari wa usalama barabarani akitiza malori yaliyogongana uso kwa uso, katika eneo la Kisaki nje kidogo ya mji wa Singida jana saa moja usiku na kuhusisha lori namba T 460 ARL Scania iliyokuwa inavuta tela namba T 812 AAZ na lori lingine namba T 611 BHL Scania,liliokuwa na tela namba T 377 BLB, hata hivyo hakuna aliyejeruhiwa kwenye ajali hiyo.:
Askari wa usalama barabarani akikagua basi la kampuni ya Mohammed Trans lililopata ajali wakati likitokea Mwanza-Dar Es Salaam, katika eneo la Kisaki, nje kidogo ya mji wa Singida.Hakuna aliyejeruhiwa na abiria waliendela na safari baada ya kampuni kupeleka basi lingine. Na Elisante John
No comments:
Post a Comment