Thursday, January 19, 2012

RAISI JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WATU KATIKA MAZISHI YA ALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA MAREHEMU REGIA MTEMA IFAKARA MOROGORO...!!!






Rais Jakaya Kikwete akiwa kwenye mazishi ya Marehemu Regia Mtema na kuongoza mamia ya waombolezaji wa mji wa Ifakara kwenye mazishi hayo jana ambapo pia viongozi mbali mbali walishiriki.Wengine pichani ni Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinda (pili kulia),Naibu Spika wa Bunge,Mh. Job Ndugai (kulia),Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Mh. Joel Bendera (pili kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Mh. Freeman Mbowe, na kulia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh Zitto Kabwe.






Rais Kikwete akiongea na Spika Anne Makinda. Pembeni yao ni Naibu Spika Job Ndugai na Mh Hawa Ghasia






Viongozi wa CHADEMA msibani






Baadhi ya waombolezaji wakiwa kwenye mazishi ya Marehemu Regia Mtema mjini Ifakara






Vijana wa ulinzi wa CHADEMA wakithibiti umati wa waombolezaji






Baadhi ya wabunge toka vyama mbalimbali wakiwa mazishini






Umati wa waombolezaji makaburini






Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe alipowasili






Jeneza lenye mwili wa marehemu likishushwa makaburini






Mwili wa marehemu ukiwasili makaburini








Mdogo wa marehemu






Wanahabari wakirekodi tukio hilo






Vilio na majonzi






Pacha wa marehemu akibembelezwa






Sehemu ya waombolezaji






Kwaya ikiimba mapambio






Wazazi wa marehemu






Ibada ya mazishi ikiendelea








Salamu za Shukrani toka kwa msemaji wa familia






Wazazi wa Marehemu wakiweka udongo kaburini






Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la Marehemu Regia Mtema aliezikwa leo Ifakara Mkoani Morogoro.






Spika Anne Makinda akiweka udongo kaburini






Naibu Spika akiweka udongo kaburini






Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akiweka udongo kaburini






Rais Jakaya Kikwete akijiandaa kuweka shada la Maua kaburini wakati wa mazishi ya Marehemu Regia Mtema aliyoongoza mjini Ifakara mkoani Morogoro leo.






Rais Jakaya Kikwete akiweka shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Regia Mtema ambaye alikuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Jimbo la Morogoro aliefariki kwa ajali ya gari maeneo ya Ruvu mkoani Pwani hivi karibuni .






Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa akijiandaa kuweka shada ya maua kaburini



Picha kwa hisani ya Michuzi


No comments: