![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgXiWYwWYtEOjqT2wEZwI3pRyQbotg5Zo_vzfE2LR9vdTrM8zE84WULfM7SavPLf7etaBCtjguhsNPOaEW5B-jFPQfKxUWYgQ3KMtopMUapMmbWzkrAlw56pG6GqWFulAFJNd1gp4Al9uY/s640/MAHAKIMU.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIQ1cfZBDF6puz_UJtdXR46Xi2UESr_ZKmhyphenhyphenpT-iGklPTLaZQUpB2P04jxjmabkpnDAKt_dHLFAUidnnAf44NFyxDF7_CqBCkopgczLKzBnuRFn1qS40USBZ8mj97UGDCwdD3m8ZWN1Qc/s640/G.PHOTO.jpg)
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande(katikati),Jaji Kiongozi,Mhe. Fakih Jundu (Kushoto) na Msajili wa Mahakama ya Rufani, Mhe. Francis Mutungi (kulia)wakiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Mahakimu waliokabidhiwa hati ya uteuzi na kuapishwa.Mhe amewaasa kuwa na maadili na kazi yao na kutoa haki sawa kwa wote na kwa wakati.
No comments:
Post a Comment