Thursday, March 22, 2012

Waziri Mponda azungumzia siku ya kifua Kikuu Duniani.


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hadji Hussein Mponda Kushoto akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu kuadhimisha siku ya Kifua Kikuu Kitaifa, ambapo sherehe zitafanyika Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara hivi karibuni kwenye ukumbi wa wizara ya Afya Jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hadji Hussein Mponda akiongea na Waandishi wa Habari ambao hawapo kwenye Picha kuhusu siku ya Kifua Kikuu kitaifa ambapo sherehe zitafanyika Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Wizara ya Afya Jijini Dar es Salaam leo.

Picha na Anna Itenda -Maelezo.

No comments: