Wednesday, February 8, 2012

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI WAKATI SAKATA LA MGOMO WA MADACTARI LIMECHUKUA SURA MPYA















Ndugu na Jamaa wakiwa kwenye harakati za kumwamisha Mgonjwa wao kutoka hospitali ya Taifa ya muhimbili kufwatia mgomo Mkubwa wa Madaktari






Chumba Cha Wagonjwa kikiwa kitupu






Muonekano wa Wodi Mbalimbali






Chumba cha Wagonjwa kikiwa kitupu






Vitanda vitupu vikiwa Havina wagonjwa kwenye hospitali ya taifa ya muhimbili Kufwatia Mgomo wa Madaktari unaoendelea nchini hivi sasa






Viti vya kubebea Wagonjwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili vikiwa vitupu kabisa






Koridoro za hospitali ya Taifa ya Muhimbili Zikiwa Tupu Leo hii kufwatia Mgomo wa Madaktari Nchini






Sehemu ya Mapokezi ya Hospitali ya taifa ya muhimbili ikiwa tupu






Bi Annanilea Nkya(Kulia)na kijo Bisimba wa pili Kushoto wakiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbli jijini Dar es Salaam Kujionea hali halisi na athari za Mgomo wa Madakatari unaondelea Nchini.Picha na Habari Legal and Human Rights Centre


1 comment:

Anonymous said...

Mungu atusaidie tusiumwe, maana hali inatisha. Suala hili ilitakiwa lichukuliwe kama dharula!! Tuache utani na afya za watu!!!